Friday, January 14, 2011

Wanamawasiliano kutoka SAUT wakiwa ufukweni

Baadhi ya wahitimu wa Shahada ya Kwanza ya Mawasiliano ya Umma katika Chuo Kikuu cha Mt. Augustino- Mwanza (SAUT) wakiwa ufukweni mwa ziwa Victoria kwa michezo mbalimbali kwenye hafla ya kuagana.


Wanamawasiliano walicheza michezo mbalimbali pia, hapa wanavuta kamba kwa staili ya pekee wakishindana wanaume na wakinadada. Katika mchezo huu akinadada waliwashinda  wanaume.



Mdau Edson Kamukara ni mmoja wa wanamawasiliano waliomaliza SAUT, hapa anapata upepo mwanana. Picha zote na mdau Edson Kamukara.

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...