Tuesday, November 13, 2012

Harusi ya Godfrey Monyo na Bi. Gadiosa Lamte

Harusi ya Godfrey Monyo na Bi. Gadiosa Lamte
Ilifanyika Jumamosi ya Novemba 10, 2012.
Ukumbi wa Mnazi Mmoja DSM

Rangi za Harusi: Nyeupe, Nyekundu na Nyeusi


Bwana harusi, Godfrey Monyo akiwa na Bi. harusi, Gadiosa Lamte katika Kanisa la Mt. Petro Dar es Salaam. Monyo ni mtangazaji wa kituo cha ITV jijini Dar es Salaam.

Godfrey Monyo akila kiapo cha ndoa dhidi ya mkewe Bi. Gadiosa Lamte wakiwa kanisani

 Bi. Harusi akimvisha mumewe pete kwa ishara ya upendo

 Ni raha kupendana....! Cheki hapa katika moja ya mapozi ya maharusi

 Pongezi toka kwa ndugu jamaa na marafiki..!

Picha ya pamoja ya maharusi na wapambe wao. Harusi na Matukio inawatakia kila heri katika ndoa yenu.

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...