Friday, January 14, 2011

Harusi ya Eric Kafula na Esther Joseph


Wakitafakari jambo ni Eric Kafula na Esther Joseph wakiwa katika ibada ya sakramenti ya ndoa yao, iliyofanyika Jumamosi ya Mei 6, 2010 ndani ya Kanisa la Mtakatifu Joseph Dar es Salaam na kufuatiwa na tafrija ya nguvu kwenye ukumbi wa hoteli ya Beriego Ilala Bungoni. PICHA NA MDAU DOTTO MWAIBALE

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...