Monday, January 24, 2011

Semina ya Wabunge wa CCM DAR


Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda na Waziri Mkuu Mstafu na mbunge wa Monduli Mh. Edward Lowassa wakiwa katika mazungumzo wakati wa mapumziko katika semina ya wabunge wa CCM.


Makamu wa Rais Dr Mohamed Ghalib Bilal akisalimiana na Waziri Mkuu mstaafu Mh. Edward Lowasa katika hoteli ya Blue Pearl Ubungo Plaza jijini Dar es sa salaam leo. Kati ni Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda. Wote walikuwa wanashiriki semina ya wa bunge wa CCM. Picha zote kwa hisani ya Blog ya MICHUZI




No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...