Tuesday, November 19, 2013

Sherehe ya Beatrice Mroki Siku Alipopata Sakramenti ya Kipaimara Jijini Dar es Salaam

Novemba 17, 2013 ilikuwa siku ya furaha sana kwa Beatrice Mroki (kushoto) kwa kupata sakramenti yake ya Kipaimara baada ya kuhitimu mafunzo ya miaka miwili katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Ukonga jijini Dar es Salaam. Pichani ni Beatrice akigonganisha glasi na msimamizi wake Neema Steven wakati wa tafrija maalum ya kumpongeza iliyofanyika katika ukumbi wa Samunge Ukonga Mazizini.

 Hapa ilikuwa Kanisani wakisubiri kupokea Kipaimara katika KKKT Ukonga.

 Baada ya Kipaimara baba na mama yake Beatrice wakilamba picha na Binti yao.

 Nasisi tulijipongeza kwa malezi bora Mungu aliyotujalia.

 Bibi zake Beatrice wakijipongeza na kumtakia heri Mjukuu wao.

 Beatrice na wapambe wake...

Pongezi kutoka kwa wazazi...

 Dada Kilave akimpongeza mdogo wake

 Kikundi cha Ligimilo wakicheza kwaito...

 Keki ilikuwa hiviii ...

 na ilikatwa hivi....

 Ikaliwa hivi... Hapa Beatrice akimlisha mdogo wake Glory.


 Father Kidevu wakati wa zawadi alimpa gwala binti yake

 Muongezaji maarufu wa filamu za Kibongo Leah Mwendamseke nae alikuwepo.


 Ligimilo wakitangaza zawadi yao..

 Weee...!! Tulia nami nimsaidie baba leo...Glory Mroki akimfotoa dadayake picha.

 Kazawadi haka jamani... siku moja nitavaa shati lake.

 Huko jikoi mambo yalikuwa hivi

 Mwisho lilishuka sebene kali kutoka kila aina ya muziki kuanzia injili hadi katika kiduku namna hii.

Saturday, November 9, 2013

Usiku wa Khanga za Kale Ndani ya Hoteli ya Serena Dar

Mke wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Asha Bilal, akimkabidhi Cheti mwakilishi wa Michuzi Media Group, Othman Michuzi, kwa kutambua mchango wake katika kufanikisha sherehe za Usiku wa Khanga, zilizofanyika jana usiku katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam. Katikati ni Mratibu wa Hafla hiyo, Asia Idarus. Mke wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Asha Bilal, akimkabidhi Cheti mwakilishi wa Michuzi Media Group, Othman Michuzi, kwa kutambua mchango wake katika kufanikisha sherehe za Usiku wa Khanga, zilizofanyika jana usiku katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam. Katikati ni Mratibu wa Hafla hiyo, Asia Idarus.

 Mke wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Asha Bilal, akimkabidhi Cheti Miss Tanzania 2012, Brigitte Alfred, kwa kutambua mchango wake katika kufanikisha sherehe za Usiku wa Khanga, zilizofanyika jana usiku Novemba 8, 2013 katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam. Katikati ni Mratibu wa Hafla hiyo, Asia Idarus.

 Mke wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Asha Bilal, akimkabidhi Cheti Mkurigenzi wa Gazeti la Jambo Leo, Benny Kisaka, kwa kutambua mchango wake katika kufanikisha sherehe za Usiku wa Khanga, zilizofanyika jana usiku katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam. Katikati ni Mratibu wa Hafla hiyo, Asia Idarus.

Wednesday, October 16, 2013

MATEMBEZI YA HISANI,DAWATI NI ELIMU


Mabango yenye Ujumbe Mbalimbali kabla ya kuanza matembezi

Mgeni rasmi Mama salma kikwete na mstahiki meya wakifanya mazoezi ya viungo na wanafunzi kabla ya matembezi ya hisani ya dawati ni elimu
Mazoezi ya viungo kabla ya kuanza matembezi



Matembezi kwenya barabara ya Ohio mjini dar es salaam
Picha Juu na chini ni Mgeni Rasmi wa matembnezi hayo Mama Salma Kikwete akingoza matembezi hayo kushoto kwake ni mstahkimea wa Ilala Jerry Silaa


Matembezi ya hisani ya dawati ni elimu    



Mstahiki meya Jerry silaa akimkabidhi zawadi Mgeni rasmi mama Salma Kikwete
Meya wa Mansipaa ya Ilala Jerry Silaha akimkabidhi mgeni rasmi zawadi 

Wanafunzi wakitumbuiza wageni
   

vikundi mbalimbali vya watoto wakitumbuiza

Wanafunzi wa shule ya msingi ya bunge wakikaribisha mgeni rasmi

 

Mgeni rasmi Mama salma Kikwete akisisitisha umuhimu wa elimu
Mama Salma kikwete akihutubia
   

Friday, October 4, 2013

Harusi ya Mdau Vicent Mnyanyika na Bi. Tatu Abdi

Bwana Harusi Vicent Mnyanyika na Mkewe Tatu Abdi wakipiga picha ya ukumbusho mara baada ya kufunga ndoa takatifu katika Parokia ya Mtakatifu Maria ya Kimara, jijini Dar es Salaam juzi. Bwana Harusi Vicent Mnyanyika na Mkewe Tatu Abdi wakipiga picha ya ukumbusho mara baada ya kufunga ndoa takatifu katika Parokia ya Mtakatifu Maria ya Kimara, jijini Dar es Salaam juzi.

Paroko wa parokia ya Mtakatifu Maria Kimara akiwaongoza maharusi kuweka maagano ya ndoa takatifu 
Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Maria Kimara akiwaongoza maharusi kuweka maagano ya ndoa yao takatifu Kanisani.

Bibi harusi Tatu Abdi akiweka saini kwenye cheti cha ndoa akiwa anashuhudiwa na Mmewe Vicent Mnyanyika 
Bibi harusi Tatu Abdi akiweka saini kwenye cheti cha ndoa huku mumewe Vicent Mnyanyika akishuhudia pembeni.

MC PC Makame Akiwaongoza Maharusi katika tendo la keki.Harusi sherehe ilifanyika katika ukumbi wa Grand Hall Piccolo Beach Hotel Tar 31 August 2013 MC PC Makame akiwaongoza maharusi katika tendo la keki ukumbini katika hafla kabambe iliyofanyika katika Ukumbi wa Grand Hall Piccolo Beach Hotel Agosti 31, 2013.

DSC_0020  
Bi. Tatu Abdi katika picha na mpambe wake.

DSC_0333  
 Maharusi wakikabidhiwa vyeti vyao kanisani.

  DSC_0335  
Maharusi wakivionesha vyeti vya ndoa kwa mashuhuda mara baada ya kufunga ndoa.

Maharusi na wapambe  
Picha na wapambe wa maharusi.

Maharusi na wazazi  
Picha na wazazi wa maharusi.

Bwana Harusi Vicent Mnyanyika na Bibi Harusi Tatu Abdi wakitoka ukumbini
Maharusi wakiwapungia mikono wageni waalikwa kwa ishara ya kuwaaga mara baada ya kumalizika kwa mnuso huo wa nguvu uliofanyika katika Ukumbi wa Grand Hall Piccolo Beach Hotel.

Thursday, October 3, 2013

MAHAFALI YA SHULE YA MSINGI MAKTABA 2013 DAR ES SALAAM

MAHAFALI YA S/M MAKTABA
WALIMU WANAFUNZI PAMOJA NA MGENI RASMI KATIKA PICHA YA PAMOJA
PICHA JUU NA CHINI NI MAANDAMANO YA WAHITIMU WADARASA LA SABA 2013 SHULE YA MSINGI MAKTABA JIJINI DAR ES SALAAM


WALIMU AKITOA UFAFANUZI

WAHITIMU WA DARASA LA SABA WAKIFUATILIA KWA KARIBU

WAHITIMU WA DARASA LA SABA KUTOKA KULIA NI ROSE HENRY, MONICA PAMOJA NA RAFIKI YAO
MWANAFUNZI ROSE HENRY ALIYEFANYA VIZURI KATIKA MASOMO YAKE AKIPOKEA ZAWADI



KIPAIMARA CHA BEATRICE SONGOMA


HONGERA BEATRICE SONGOMA
KWA KUPATA KIPAIMARA
NA BAADAE SHEREHE KUFANYIKA NYUMBANI KWA BABU NA BIBI YAKE MBEZI TEMBONI DAR ES SALAAM


BEATRECE SONGOMA

WAKIINGIA UKUMBINI WATOTO WALIOMSINDIKIZA BEATRECE

PICHA JUU NA CHINI NI BEATRICE AKIWA PAMOJA NA MPAMBE WAKE ROSE








MUANDAAJI WA BLOGU HII AKIWA PAMOJA NA WAALIKWA KATIKA HAFLA HII YA KUMPONGEZA BEATRICE
BEATRISE AKIWA NA MPANBE WAKE WAKIJARIBU KUIWEKA SAWA TAYARI KWA KUIFUNGUA

BEATRICE AKIIFUNGUA



WAALIKWA WAKIMPONGEZA BEATRICE KWA KUNONGANISHA GLASI

KUTUNZA ILIRUHUSIWA


KWAITO KABLA YA KUKATA KEKI



BEATRICE AKIMLISHA MAMA YAKE MZAZI (PEMBENI KUSHOTO NI BABA YAKE MR SONGOMA NA  NYUMA NI MJOMBA NA SHANGAZI WA BEATRICE)

MAANJUMATI

TUNASHUKURU SANA KWA MR & MRS SONGOMA KWA KUTUPA NAFASI YA KUSHIRIKI PAMOJA NAO KATIKA HAFLA HII YA BINTI YAO BEATRICE. PIA WADAU WETU WOTE WANAOTEMBELEA MTANDAO HUU. KARIBUNI SANA.

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...