Tuesday, January 18, 2011

Harusi ya Ibrahim Joseph na Constasia Milinga

Bwana harusi Ibrahim Joseph na Mkewe Constasia Milinga na wapambe wao nje ya Jengo la Mkapa Tower (NSSF) tayari kwa kupiga picha za kumbukumbu baada ya kufunga ndoa katika Kanisa la Mtakatifu Joseph Dar es Salaam, Januari 16, 2011.



Wapambe wa maharusi wa harusi ya Ibrahim Joseph na Constasia Milinga



Hapa wapambe wakiwa katika mapozi mbalimbali.




No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...