Tuesday, February 21, 2012

Harusi ya Fredy na Ephracia jijini Dar es Salaam

Januari 21, 2012 itabaki kuwa siku kubwa ya kumbukumbu kwa maharusi Fredy pamoja na mkewe Ephracia baada ya kufunga pingu za maisha katika Kanisa la Mwenge jijini Dar es Salaam, na kufuatia na tafrija kubwa iliyofanyika katika Ukumbi wa Mbezi Garden Hotel - Dar es salaam.

Maharusi Fredy (kulia) pamoja na mkewe Ephracia (kushoto) wakipozi na watoto wazuri waliosimamia harusi yao.


Mvinyo rasmi wa sherehe hiyo tulifungua wenyewe!


Fredy pamoja na mkewe Ephracia


Kwa ishara ya upendo tuliwatembelea na kuwapa zawadi watoto yatima kusherehekea pamoja (Picha zote kwa hisani ya Harusini Blog)

Wednesday, February 1, 2012

Harusi ya Samwel Daniel na mkewe Kaindi Taratibu



Wakiwa na nyuso za furaha pichani ni Bwana harusi Samwel Daniel na mkewe Kaindi Taratibu wakiwa kwenye pozi la picha baada ya kufunga ndoa yao katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kibaha hivi karibuni na kufuatiwa na sherehe kabambe iliyofanyika katika Ukumbi wa Mbezi Luxury jijini Dar es Salaam.


“Hawa si wawili tena bali ni mwili mmoja,”; Bwana harusi Samwel akiwa na mkewa Kaindi wakishuka kutoka katika Mlima Kilimanjaro uliopo eneo la Mabibo jijini Dar es Salaam, walipokwenda kutalii wa baada ya kufunga ndoa yao kwa Mkuu wa Wilaya ya Kibaha Januari 28, 2012.

Makaka wa maharusi wakiwa katika picha ya pamoja wakisherehekea harusi ya mdogo wao. Picha kwa hisani ya wanafamilia.

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...