Friday, January 7, 2011

Mke wa Ridhiwani Kikwete akipongezwa kuwa wakili wa kujitegemea

Mke wa Ridhiwani Kikwete (aliyembeba mtoto) akipiga picha na mkwewe Rais Jakaya Kikwete (wa pili kushoto) katika hafla ya kumpongeza baada ya kupata daraja la uwakili wa kujitegemea Desemba 17, 2010. Kulia ni mumewe Ridhiwani.
Picha kwa hisani ya Ikulu.


Mke wa Ridhiwani akiwa (aliyembeba mtoto) katika picha ya pamoja na baadhi ya wageni waalikwa pamoja na Rais Kikwete, kwenye hafla hiyo iliyofanyika ikulu Desemba 17, 2010.


Picha ya pamoja na wanafamilia na wageni waalikwa katika hafla.

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...