Tuesday, January 18, 2011

Ndoa ya Ally Abdallah na Zainabu Habibu



Bw. Ally Abdallah na mkewe Zainabu Habibu wakionesha vyeti vyao vya ndoa baada ya kufunga ndoa Oktoba 15, 2011 katika Msikiti wa Mwenge na baadae kufuatiwa na sherehe ya kukata na shoka zilizofanyika katika Ukumbi wa Livestone  uliopo Kinondoni jijini Dar es Salaam.


No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...