Friday, January 14, 2011

Beach si za wazungu pekee bwana!

Mdau naomba pokea picha hii nadhani inaweza kuwavuta na wadau wengine, hatimaye kupenda kutembelea fukwe zetu. Pichani ni mdau Said Mwishehe akijivinjari pembezoni mwa fukwe za Bahari ya Hindi jijini Dar es Salaam hivi karibuni.


Said Mwishehe akitafakari pembezoni mwa ufukwe



Mdau Mwishehe akiwa pembezoni mwa Hoteli ya Double Tree



Mpiga picha maarufu, Richard Mwaikenda (Kamanda) ambaye pia ni mmiliki wa blog ya Kamanda wa Matukio akiwa katika pozi kwenye ufukwe wa Bahari ya Hindi.  


Mdau Said Mwishehe akiwa na mdau Kilian


No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...