Friday, January 28, 2011

Mkutano wa kimataifa wa afya ya akinamama, watoto

Rais Jakaya Kikwete ambaye ni Mwenyekiti wa Mkutano wa kwanza wa Tume ya Kimataifa kuhusiana na masuala ya afya ya akinamama na watoto, akijibu maswali ya waandishi wa habari akiwa na Mwenyekiti Mwenza, Waziri Mkuu wa Canada, Stephen Harper, baada ya Kikao cha kwanza cha tume hiyo mjini Geneva, Uswis kilichofanyika Januari 26, 2011. PICHA NA MDAU, FREDDY MARO.

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...