Tuesday, December 27, 2011

Harusi ya Bw. Boniface & Bi. Ruth


Maharusi Boniface na mkewe Ruth wakiwa katika pozi


Bi. Ruth akila kiapo kanisani Desemba 3, 2011 cha kukubali kumpokea Boniface kama mumewe katika maisha yao yote.


Boniface na mkewe Ruth wakinyweshana mvinyo kwa ishara ya upendo katika hafla ya harusi yao iliyofanyika katika Ukumbi wa Rombo Green View Hotel - Sinza jijini Dar es Salaam.


Picha ya pamoja na wazazi!


Wapambe mapambo wa maharusi wakiwa katika pozi! Picha zote kwa hisani ya Blog ya Harusini.

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...