Thursday, January 13, 2011

Miaka 47 ya Mapinduzi ya Zanzibar


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akiwahutubia wananchi mjini Zanzibar wakati sherehe za maadhimisho ya miaka 47 ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliyotokea Januari 12, 1964.




Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Shein (kulia) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete (kushoto) wakibadilishana mawazo wakati wa sherehe za maadhimisho ya miaka 47 ya Mapinduzi ya Zanzibar.



Maziri wakuu wastaafu, Dk. Salim Ahmed Salim (kushoto) na Fredrick Sumaye (katikati) wakibadilishana mawazo na Waziri Kiongozi mstaafu Vuai Nahodha (kulia) wakati wa sherehe za maadhimisho ya miaka 47 ya mapinduzi ya Zanzibar.



Katibu wa CCM, Yusuph Makamba (kushoto) akizungumza na Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba (kulia) mjini Zanzibar wakati wa sherehe za maadhimisho ya miaka 47 ya Mapinduzi ya Zanznibar zilizofanyika katika Uwanja wa Amani.



Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein (kulia) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Kikwete (kushoto) wakiwa wamesimama kupokea maandamano ya wawakilishi wa wananchi kutoka mikoa mbalimbali za Zanzibar kwa ajili ya kusherekea miaka 47 ya Mapinduzi ya Zanzibar.

 

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...