Saturday, January 8, 2011

Ndoa ya Mike Ezuruonye na Nkechi Nnorom wa Nigeria

Novemba 13, 2010 msanii wa filamu wa Nigeria Mike Ezuruonye alifunga ndoa  kanisani na mkewe Nkechi Nnorom. Pichani ni Nkechi akimvisha pete kanisani mumewe mbele ya kasisi.

Mike Ezuruonye na Nkechi Nnorom wakionesha vyeti vyao vya ndoa mara baada ya kufunga ndoa kanisani na baadaye kufuatiwa na tafrija kabambe nchini Nigeria. Waliosimama pembeni mwao ni wasimamizi wao.

Mike Ezuruonye na Nkechi Nnorom wakiwa katika picha na wapambe wao pamoja na wasimamizi baada ya kufunga ndoa yao


Mike Ezuruonye akimchumu Nkechi siku ya harusi yao.

Huu ndio usafiri waliotumia maharusi hawa

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...