Friday, January 14, 2011

Pombe ya ulanzi mjini Iringa

Wauzaji wa pombe aina ya ulanzi ambayo ni maarufu katika Mkoa wa Iringa wakisukuma baiskeli zenye pombe hiyo kutafuta wanunuzi. Picha na mdau Dotto Mwaibale ambaye alitembelea mkoa huo hivi karibuni.

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...