Tuesday, January 18, 2011

Harusi ya Mohamed Millanzi na Rufu Jumanne


Baadhi ya ndugu na jamaa wa Mohamed Millanzi wakimuombea dua bi harusi, Rufu Jumanne walipokuwa wakifunga ndoa Januari 14, 2011 Manzese Tip Top na kufuatiwa na hafla iliyofanyika nyumbani kwa mama yake mzazi na bwana harusi Kiwalani jijini Dar es Salaam.


Mohamed Millanzi akiwa na mkewe, Rufu Jumanne baada ya kufunga ndoa yao.

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...