Friday, January 14, 2011

Kongamano la Majaji Wanawake Tanzania



Baadhi ya washiriki wa Kongamano la Chama cha Majaji Wanawake Tanzania (TAWJA) wakiwa katika kongamano lao la siku moja lililofanyika jijini Dar es Salaam.

 

Waziri wa Katiba na Sheria, Celina Kombani(kulia)akiteta jambo na Mwenyekiti wa Chama cha Majaji Wanawake Tanzania (TAWJA), Jaji Eusebia Munuo (katikati) na Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Kimataifa cha Majaji Wanawake, Joan Winship (kushoto) jijini Dar es salaam kabla ya ufunguzi wa kongamano la siku moja la TAWJA. Picha zote na mdau Tiganya Vincent wa MAELEZO - Dar es Salaam.


No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...