Tuesday, December 28, 2010

Wakili Cecillia Assey Marealle (katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na mume wake Aggrey Marealle, Mkurugenzi wa Executive Solutions na mama yake, Hellen Assey (kushoto) baada ya kuapishwa kuwa wakili kwenye viwanja vya Karimjee hivi karibuni jijini Dar es Salaam. Picha kwa hisani ya Executive Solutions.

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...