Sunday, December 26, 2010

Januari 5, 2009, ilikuwa ni kumbukumbu ya maisha kwa wanandoa hawa

 
Januari 5, 2009, ni kumbukumbu ya milele kwa wanandoa hawa. Pichani ni Bw. Furaha Mwangosi akiwa na mkewe baada ya kuunganishwa rasmi katika maisha ya ndoa. Picha na Mdau Dotto Mwaibale.



Januari 5, 2009, ni historia kwa Bwana na Bibi, Brighton Munyo. Pichani Brighton Munyo akiwa na mkwe baada ya kufunga ndoa Kanisa Kuu Katoliki la Mtakatifu Joseph jijini Dar es Salaam . Picha na Mdau Dotto Mwaibale.

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...