Sunday, December 26, 2010

Januari 5, 2009, ilikuwa ni kumbukumbu ya maisha kwa wanandoa hawa

Bw. Joachim Rasiel akiwa na mkewe baada ya kufunga ndoa yao kanisani. Picha na Mdau Dotto Mwaibale.


Wakiwa na nyuso za furaha, Januari 5, 2009, ni Geofrey Swai akiwa na mkewe baada ya kufunga ndoa yao. Picha na Mdau Dotto Mwaibale.



Geofrey Swai akiwa na mkewe katika picha ya pamoja


Swai katika mapozi na wife nje ya kanisa baada ya kufunga ndoa yao.

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...