Friday, December 31, 2010

Jamani angalieni keki za ajabu kwenye harusi


Kwanza cheki hii



alafu utazame keki hii.



Kisha angalia keki hii kwa makini.


 Na baada ya hapo tazama nyingine hii



Na mwisho angalia aina hii ya keki. Kisha utakuwa umejifunza kitu fulani, jamani haya ni madoido ya kwenye harusi. Keki hizo zimetumwa na mdau Neema Mgonja.

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...