Friday, December 31, 2010

Sasa ni Maji ya Lady Jay Dee

Lady Jay Dee akionesha maji ya kunywa ambayo yana jina lake yanayotolewa na
Mohamed Enterprises Limited, akiwa ni msanii wa kwanza kupata endorsement ya
aina hiyo nchini. Hafla hii imefanyika leo katika hoteli ya Paradise City jijini Dar.
Akiongea na waandishi katika hafla hiyo Jay Dee pia aliweka wazi mipango yake
kwa mwaka 2011 ikiwa ni pamoja na kufungua mgahawa uitwao 'Nyumbani
Lounge' karibu na Best Bite Restaurant maeneo ya Ada Estate pamoja na kutoa
albamu yake ya tano. Picha kwa hisani ya Blog ya Michuzi.

2 comments:

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...