Thursday, December 30, 2010

Angalieni mgambo wa jiji 'wanapotafuta' chochote

 Mgambo wa Jiji la Dar es Salaam wanaponasa mzigo wa Mmachinga na kuushikilia, yaani kiama wanauza na wao.


"Haya jamani mzigo ndio huu sasa vipi tupige pasu nini?" Kama vile wanasema hivyo, lakini ukweli ni kwamba wamemweka mmoja wa Wamachinga chini ya ulinzi kwa mahojiano zaidi, kilichoendelea 'sijui'. Picha na mdau wa blog Dotto Mwaibale.

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...