Sunday, December 26, 2010

Naibu Waziri wa Maji Injinia Chizza akitembelea vyanzo vya maji Temeke

Naibu Waziri wa Maji, Injinia Christopher Chizza (wa pili kushoto) akikagua vyanzo vya maji vilivyopo Manispaa ya Tekeme Dar es Salaam hivi karibuni, anayemwelekeza mbele ni Meneja wa Mtambo wa maji Mtoni, Masud Omar. 



 Waziri na baadhi ya maofisa wa maji, na waandishi wakiangalia mtambo wa kuchanganya maji na dawa.

Meneja wa Mtambo wa Maji Mtoni, Masud Omar (kushoto) akimwelekeza jambo naibu waziri kwenye moja ya mitambo ya maji eneo hilo. Picha zote na Mdau Dotto Mwaibale.

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...