Tuesday, December 28, 2010

Chrismas 2010 na misaada kwa yatima

Vodacom Miss Tanzania, Genevieve Emmanuel  akimkabidhi  ndoo ya mafuta ya kupikia, Joyce Haule mmoja wa watoto yatima wanaolelewa katika Kituo cha  Msongola Orphanage Trust Fund, kilichopo Mvuti, wilayani Ilala, Dar es Salaam. Aidha kampuni hiyo kupitia kampeni yake ya ‘Share n Care’ pia ilikabidhi  vitu mbalimbali vyenye thamani ya zaidi ya shilingi  milioni mbili katika hafla iliyofanyika wakati wa Sikukuu ya Krismas. Picha kwa hisani ya Vodacom.

Baadhi ya watoto Yatima wanaolelewa na Kituo cha Mtakuja Orphancs and Vulnerable Children Center cha Kariakoo, Dar es Salaam, wakipata chakula kilichotolewa na Kampuni ya simu ya TTCL kwa ajili ya kusherehekea Sikukuu ya Krismas. Vitu vingine walivyopewa ni sabuni, mafuta ya kula. Picha kwa hisani ya TTCL

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...