Tuesday, December 28, 2010

Siku kampuni ya Tigo ilipokisaidia Chuo Kikuu cha Zanzibar

Ofisa Uhusiano wa Tigo, Jackson Mmbando (wa pili kushoto) akikabidhi msaada wa kompyuta 10 zenye thamani ya sh. milioni 12 zilizotolewa na Tigo kwa Chuo Kikuu cha Zanzibar, mwishoni mwa wiki. Wa tatu kushoto ni Makamu Mkuu wa Chuo hicho, Profesa Mustafa Roshash na wengine wanaoshuhudia ni baadhi wa wanafunzi, walimu na wawakilishi wa Tigo. Picha kwa hisani ya Tigo

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...