Monday, April 4, 2011

Wanaooteshwa kuvumbua dawa ya magonjwa sugu waendelea kujitokeza



Haya makubwa: Huyu naye ameibuka mjini Morogoro yeye anatoa kikombe kimoja kama dawa ya magonjwa sugu, anajulikana kama Fatma Said Senga (41) mkazi wa Kata ya Kichangani Morogoro. Hapa katembelewa na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Said Mwambungu na viongozi wengine, kikombe chake anauza kwa sh. 200. Haya kazi Kwenu wadau, geuzeni msafara kuelekea Mji kasoro Bahari.

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...