Friday, April 8, 2011

Maandalizi ya Fiesta, mapambano ya mashabiki wa timu nane kubwa za Ulaya

Serengeti Fiesta Soccer Bonanza katika picha


Brass Bend ya Polisi Dar es Salaam ikiongoza maandamano ya mashabiki mbalimbali wa timu nane kubwa Ulaya yakielekea kwenye viwanja vya Leaders Dar es Salaam Aprili 8, 2011.



Mashabiki wa Manchester United wa Dar es Salaam wakishangilia moja ya ushindi wa awali walioupata katika viwanja vya Leaders, kwenye Bonanza la Soccer (Serengeti Fiesta Soccer Bonanza)



Mashabiki wa timu mbalimbali katika bonanza hilo wakiangalia mipambano anuai, hapa wamezunguka moja ya viwanja vilivyotumika kwenye mpambano huo.



Baadhi ya mashabiki wa Real Madriad wakishangilia timu yao katika viwanja hivyo.



Baadhi ya mashabiki wa Barcelona wakiwa wamekula pozi na na shabiki wa Chelsea (wa pili kushoto).








No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...