Friday, April 8, 2011

Vikao vya bunge vyaendelea Dodoma


Spika wa Bunge la Tanzania, Anne Makinda (kushoto) akisalimiana na Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO), Clement Mshana baada ya kuzungumza na maofisa habari, Elimu na Mawasiliano wa Wizara, Idara na Taasisi za Serikali, Mikoa na wakala mjini Dodoma.

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...