Tuesday, April 12, 2011

Laurent Gbagbo akamatwa hotelini


Laurent Gbagbo akiwa chini ya ulinzi wa majeshi ya Umoja wa Mataifa baada ya kukamatwa kwenye hoteli moja ambamo alikuwa amejificha mjini Abidjan. Taarifa zaidi zinasema vikosi vya wanajeshi vinavyo mtii Alassane Ouatarra vimemkamata kiongozi huyo na sasa yupo chini ya ulinzi na amekabiziwa kwa majeshi ya Ouatarra.

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...