Thursday, April 7, 2011

Ujenzi daraja la Kigamboni kuanza


Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli (wa tatu kushoto) akipata maelezo kutoka kwa Meneja Miradi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), John Msemo (kulia) katika eneo la Kurasini Vijibweni Dar es Salaam,  kuhusu ujenzi wa Daraja la Kigamboni eneo hilo. NSSF  inatarajia kuanza ujenzi wa Daraja hilo mapema mwaka huu baada ya zabuni kutangazwa na kumpata mhandisi. Daraja hilo litagharimu zaidi ya bilioni 130 hadi kukamilika kwake. (PICHA NA MDAU TIGANYA VICENT WA MAELEZO)

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...