Thursday, April 21, 2011

Ndoa ya Abdillah Abdallah Keto na Halima Chande Ibrahim


Bw. Abdillah Abdallah Keto akimvisha pete ya ndoa mkewe Halima Chande Ibrahim, baada ya kufunga ndoa katika Msikiti wa Sinza Mugabe jijini Dar es Salaam Aprili 08, 2011. Sherehe ya ndoa hiyo ilifanyika Mwananyamala nyumbani kwa bibi harusi.

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...