Wednesday, April 13, 2011

Andengenye Cup yakabidhiwa vifaa na BAKWATA Arusha


Katibu wa BAKWATA Wilaya ya Arusha, Abbas Mkindi Daruesh akimkabidhi Kamanda wa Polisi mkoani Arusha, Thobias Andengenye jezi pamoja na dawa katika ofisi kuu ya Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha vifaa vya michezo kwa ajili ya mashindano ya ANDENGENYE CUP vyenye thamani ya zaidi ya shilingi laki tano(500,000) mashindano hayo yanaendelea mjini hapa.



Haya Kamanda nakukabidhi na vingine hivi hapa, kazi kwako!
Ndivyo anavyoonekana akisema, Abbas Mkindi Daruesh wakati akikabidhi vifaa hivyo jana.
PICHA ZOTE NA MDAU JANETH MUSHI


No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...