Friday, April 8, 2011

Vurugu za kuchangia maoni ya Katiba Mpya


Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dk. James Msekela.akizungumza na waandishi wa habari akitoa ufafanuzi kuhusiana na vurugu zilizozuka katika mkutano wa utoaji wa maoni ya Katiba mpya katika viwanja vya Bunge Dodoma.

 

Askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) akilinda eneo la ukumbi wa bunge baada ya kuwatawanya wananchi waliofika kutoa maoni katika mchakato wa kupokea maoni ya Katiba Mpya na kuzuka kwa vurugu baada ya ukumbi kuwa mdogo tofauti na umati wa watu waliofika.



Baadhi ya wananchi wengi wakiwa wanachuo wa Chuo Kikuu cha Dodoma wakiwa nje kusubiri utaratibu wa kuingia ndani ya ukumbi wa Pius Msekwa uliokuwa ukifanyika mkutano huo wa wazi.



Mbunge wa Arusha Mjini tiketi ya Chadema, Godbless Lema (wa kwanza kulia), Katibu wa Bunge, Thomas Kashilila (katikati) na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dk. Msekela (kulia) wakijadili jambo baada ya vurugu kuzuka nje ya ukumbi wa Pius Msekwa.

1 comment:

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...