Monday, April 4, 2011

Dk. Migiro amtembelea JK Ikulu kwa mazungumzo


Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Dk. Asha Rose Migiro (kushoto) akipeana mkono na Rais wa Tanzania, Jakaya Kikwete alipomtembelea Ikulu jijini Dar es Salaam. Dk. Migiro alifanya mazungumzo na Kikwete ikulu Aprili 4, 2011. Picha na Mdau Fredy Maro.


Naibu Katibu Mkuu wa UN, Dk. Migiro akiwa katika picha ya pamoja na Rais Kikwete Ikulu ya Dar es Salaam,  Dk. Migiro aliambatana na maofisa wengine kutoka taasisi mbalimbali za kimataifa. 

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...