Wednesday, April 20, 2011

Rwanda watwaa U-Katibu Mkuu EAC


Waziri wa Afya wa Rwanda, Richard Sezibera amechaguliwa kuwa
Katibu Mkuu mpya wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), pichani akizungumza na baadhi wa maofisa wa Jumuia hiyo mara baada ya kuchaguliwa.Richard Sezibera (kushoto) akiwa na Barozi wa Rwanda nchini Tanzania, Fatma Ndagiza. Nafasi hiyo awali ilikuwa ikishikiliwa na Bakari Mwapachu. Picha na mdau wa HM.

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...