Thursday, April 21, 2011

Siku ya Malaria Duniani


Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Lucy Nkya akizungumza na waandishi wa habari juu ya maadhimisho ya siku ya Malaria Duniani itakayoadhimishwa April 29 mwaka huu mkoani Arusha. kushoto ni  Mkurugenzi Mwakilishi wa Huduma za Jamii katika Wizara hiyo, Dk. Donan Mbando. (PICHA NA MDAU MAGENDELA HAMISI)

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...