Thursday, April 21, 2011

Mkutano wa wakuu wa nchi za EAC


Aprili 19, 2011 jijini Dar es Salaam ulifanyika Mkutano wa Viongozi Wakuu wa nchi wanachama wa Jumuia ya Afrika Mashariki (EAC) uliojadili masuala anuai. Pichani ni baadhi ya viongozi wakuu wa nchi hizo, kutoka kushoto ni; Rais wa Uganda, Yoweri Mseveni, Rais wa Kenya, Mwai Kibaki, Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi, Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania, Waziri Mkuu wa Rwanda, Bernard Makuza na Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein. Picha na mdau wa Blog ya HM.

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...