Saturday, September 12, 2015

KAMPENI ZA MGOMBEA MWENZA UKAWA

 Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Duni Haji na akihutubia mkutano wa kampeni katika jimbo la Isimani Iringa vijijini.Isimani Iringa vijijini, (Picha na Francis Dande)
Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Duni Haji na akihutubia mkutano wa kampeni katika jimbo la Isimani Iringa vijijini.Isimani Iringa vijijini,
Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Duni Haji akiwa na mgombea ubunge jimbo la Isimani Iringa vijijini, Patrick Ole Sosopi.
Wasanii wa kikundi cha ngoma za asili cha Kitimtim kutoka mkoani Iringa kikitumbuiza wakati wa mkutano wa kampeni uliohutubiwa na mgombea mwenza wa Ukawa, kupitia Chadema, Juma Duni Haji (hayupo pichani)  uliofanyika jimbo la Isimani Iringa vijijini.
Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Duni Haji na Makamu Mwenyekiti wa Bavicha Taifa ambaye pia ni mgombea ubunge jimbo la Isimani Iringa vijijini, Patrick Ole Sosopi wakiwasalimia wananchi waliofika katika mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye uwanja wa Kimandi Iringa vijijini.
Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Duni Haji na akimtambulisha kwa wapiga kura mgombea ubunge jimbo la Isimani Iringa vijijini, Patrick Ole Sosopi.
 Wananchi wakifuatilia mkutano wa kampeni uliofanyika katika jimbo la Isimani mkoani Iringa.
Mgombea ubunge jimbo la Isimani Iringa vijijini kupitia Ukawa, Patrick Ole Sosopi akihutubia mkutano wa kampeni.

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...