Sunday, September 27, 2015

Harusi ya Dickson Busagaga na Salome Mhozya

Dickson Busagaga (Blogger) na Salome Mhozya katika picha baada ya kufunga ndoa 
dickson busagaga & salome mhozya wedding (9)
Dickson Busagaga (Blogger) na Salome Mhozya katika picha baada ya kufunga ndoa iliyowafanya kuungana na kuwa mwili mmoja tukio lililofanyika katika kanisa la Mt. Teresia wa Mtoto Yesu jimbo kuu la Tabora mnamo tarehe 23 Sep, 2015.
dickson busagaga & salome mhozya wedding (8)
Waharusi (Dickson na Salome) wakionesha pete zao mara baada ya kuungana na kuwa kitu kimoja.
dickson busagaga & salome mhozya wedding (2)
Hakika ilikuwa ni siku ya furaha sana kwao, hata walipoingia ukumbini katika sherehe ya usiku walidhihirisha kuto kubahatisha kuungana kwao.
dickson busagaga & salome mhozya wedding (3)
Furaha ilitawala sana miongoni mwao na waalikwa wote.
dickson busagaga & salome mhozya wedding (4) dickson busagaga & salome mhozya wedding (5) dickson busagaga & salome mhozya wedding (6)
MC Ndagula katika ubora wake wa kazi.

ZIFUATAZO NI PICHA ZA SENDOFF ILIYOFANYIKA TAREHE 19/09/2015 ORION

(TABORA HOTEL)

salome_mhozya_sendoff (1)
Picha ya pamoja ya maids, matron na aliyekuwa bibi harusi mtarajiwa
salome_mhozya_sendoff (3)
Mrs Patrick na Salome (aliyekuwa bibi harusi mtarajiwa) wakiingia ukumbini
salome_mhozya_sendoff (4) salome_mhozya_sendoff (5) salome_mhozya_sendoff (6) salome_mhozya_sendoff (7) salome_mhozya_sendoff (8)
Wazazi wa Salome wakisalimia waalikwa katika sherehe za kumuaga mtoto wao Salome
salome_mhozya_sendoff (9) salome_mhozya_sendoff (10)
Wanakamati katika ubora wao wa kukabidhi zawadi za kamati
salome_mhozya_sendoff (11)
Dickson Busagaga, Mume halala wa Salome.
salome_mhozya_sendoff (12)
Bw. Patrick (Best man)
salome_mhozya_sendoff (13) salome_mhozya_sendoff (14) salome_mhozya_sendoff (15) salome_mhozya_sendoff (16) salome_mhozya_sendoff (17) salome_mhozya_sendoff (18) salome_mhozya_sendoff (19)
Picha na aloyson.com -TBN Tabora

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...