Tuesday, March 1, 2011

Waziri Mkuu Pinda awatembelea Gongo la Mboto


Waziri Mkuu wa Tanzania, Mizengo Pinda akizungumza na wakazi wa Gongo la Mboto (hawapo pichani) wakati wa ziara ya kuwatembelea waathirika wa milipuko ya mabomu iliyotokea katika kambi ya JWTZ Gongo la Mboto jijini Dar es Salaam ambapo ametoa wito kwa mamlaka zinazohusika na ugawaji wa misaada kuhakikisha kuwa misaada inawafikia walengwa. Picha kwa hisani ya Ikulu.

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...