Saturday, March 5, 2011

Washiriki wa Miss Utalii wakiangalia baadhi ya vivutio vya utalii


Washiriki Miss Utalii Tanzania 2011, wakishangaa nyani anayetembea kwa miguu miwili, Manyara Mto wa Mbu wakati wa ziara yao hivi karibunikutembelea baadhi ya vivutio vya utalii nchini. Picha kwa hisani ya Miss Utalii Tz 2011.

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...