Thursday, March 31, 2011

Harusi ya Moshi Mbully na mkewe Mwashada


Februari 11, 2011 itabaki siku maalumu na kumbukumbu ya milele kwa Bw. Moshi Mbully wa Kinondoni Dar es Salaam na mkewe Bi. Mwashada wa Kigogo Mbuyuni Dar es salaam, kwani ndiyo siku waliounganishwa rasmi kama mke na mume.


Mwashada akimuongoza mumewe kwenda kuwaaga wazazi wake kabla ya kuondoka na mumewe baada ya ndoa yao.


Wageni waalikwa wakitoa mkono wa kwaheri kwa maharusi kabla ya kuondoka ukumbini.


Mama wa Bi. Harusi, Mrs Ewald Mushi akiwa katika pozi siku ya harusi ya mwanae.



Shangazi wa bibi harusi, Mrs G. Ishengoma (katikati) akiwa pamoja na wageni waalikwa


Shughuli mbalimbali zikiendelea ukumbini



Mambo ya maakuli ilikuwa ni uwezo wako tu


DJ wa harusi hiyo Frank Bush (kulia) akiwa na Mrs Herry aka Mama Rose ambaye ni mdogo wa Bi. harusi wakiwa kwenye mapoz ya picha. Picha zote na Mdau Mkuu wa HM.

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...