Friday, March 4, 2011

Angalia, haya ndio maisha bora kwa kila Mtanzania?

Akina mama wenye umri wa makamo maeneo ya Ukonga Dar es Salaam wakisukuma baiskeli ya mkokoteni wakisafirisha bidhaa zao, kazi hii mara nyingi hufanywa na vijana wa kiume wasio na ajira ya uhakika. Picha na mdau Dotto Mwaibale. 

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...