Saturday, March 5, 2011

Harusi ya Francis Lyimo na mkewe Rahabu Palangyo


Pichani wakiwa na nyuso za kutabasamu ni maharusi Francis Lyimo na mkewe Rahabu Palangyo wakiwa kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Istana & Catering ilipofanyika hafla yao baada ya kufunga ndoa Februari 19, 2011 katika Kanisa la Martin De Porres Mwananyamala Dar es Salaam. Bwana harusi ni Mfanyakazi wa East African Televition na Bi. harusi ni Hakimu. (PICHA NA
MDAU WA HM)

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...