Sunday, March 13, 2011

Hali ilivyo kijijini kwa babu Loliondo


Dawa aina ya mugaruga ikichemshwa





Dawa ya babu wa Loliondo ikiwa imehifadhiwa kwenye ndoo na mabeseni tayari kunywewa.


Babu Mwasapile akigawa dozi kwa wagonjwa wake.



Wagonjwa wakiendelea kupata kikombe cha dozi ya dawa ya ajabu.



Ukisha pata kikombe cha dawa unapumzika. Baadhi ya wagonjwa wakiwa wamepumzika baada ya dozi.



Umati ni mkubwa ile mbaya. Baadhi ya wagonjwa na ndugu na marafiki walioleta wagonjwa wanasubiri kikombe cha babu.



Babu sasa ni maarufu zaidi ya unavyofikiri. Baadhi ya wanahabari wakifanya mazungumzo na Mchungaji Mwasapile.

Picha zote na mdau wa Harusi na Matukio, LOLIONDO.







No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...