Thursday, February 24, 2011

Rais Kikwete ziarani Ivory Coast


Rais Jakaya Kikwete akipokelewa na kiongozi wa upinzani wa Ivory Coast Alassane Ouattara baada ya kuwasili nchini humo. (Picha na mdau Freddy Maro)



Rais Jakaya Kikwete akiwa na kiongozi wa upinzani wa Ivory Coast Alassane Ouattara (Katikati) pamoja na Rais wa Chad Idriss Deby (kulia) muda mfupi baada ya kumaliza mazungumzo ya upatanishi katika hoteli ya Golf iliyopo Abidjan (Picha na mdau Freddy Maro)


No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...