Wednesday, February 2, 2011

Maadhimisho ya miaka 34 ya CCM


Moja ya vikosi vya umoja wa vijana wa CCM wakicheza paredi katika maadhimisho ya miaka 34 ya chama hicho.


Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Visiwani, Amani Abeid Karume (wa tatu kulia mbele) akipokea salamu za heshima zilizotolewa na kikosi cha vijana cha CCM, katika maadhimisho ya miaka 34 ya CCM.



Vijana wa UVCCM wakila kiapo mbele ya viongozi wao wa chama taifa, katika maadhimisho ya miaka 34 ya CCM.


Katibu Mkuu wa CCM, Yusuf Makamba (kushoto), akibadilishana mawazo na Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Tanzania Bara, Pius Msekwa katika maadhimisho ya miaka 34 ya Chama Cha Mapinduzi, Viwanja vya Biafra Dar es Salaam. Picha zote na Mdau Dotto Mwaibale.




No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...