Saturday, February 5, 2011

Maadhimisho miaka 34 ya CCM

Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete, akiwapungia mkono wanachama wa CCM wakipita mbele ya jukwaa kuu na maandamano katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma, wakati wa kilele cha sherehe za miaka 34 ya kuzaliwa CCM. Wengine kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dodoma, William Kusila, Katibu Mkuu wa CCM, Yusuf Makamba (watatu kushoto) na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete. 


Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Jakaya Kikwete, akiwahutubia wananchi wakati wa kilele cha sherehe hizo za miaka 34 ya kuzaliwa CCM zilizofanyika mjini Dodoma. Picha zote na mdau Fredy Maro

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...