Wednesday, February 9, 2011

Malangalarini Sec. yapewa msaada wa gari na diwani



Mkurugenzi wa Mipango Miji Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Blandina Bura akimkabidhi Mwalimu Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Mlangarini, Elisa Pallangyo funguo za gari aina ya Hiace-Super Custom lenye thamani ya sh. mil 18 lilitolewa na Diwani wa Kata hiyo, Mathias Manga kwa ajili kusaidia shughuli mbalimbali za shule hiyo juzi wilayani Arumeru mkoani Arusha, PICHA NA MDAU JANETH MUSHI


No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...